Kitivo cha sheria cha Chuo Kikuu Mzumbe kinashiriki wiiki ya sheria kwa kutoa msaada wa ki-sheria, tumeweka dawati letu pale maeneo ya viwanja vya fire Mjini Morogoro ambapo tupo na wadau wengine kama tulivyoshirikishwa na Mh. Jaji Mfawidhi kanda ya Morogoro